Friday, August 31, 2012

Supu

Jamaa mmoja aliingia kwa Hoteli, akaagiza supu. muhudumu akampletea supu huku ametumbukiza kidole chake cha mkono.Yule mteja akakasirika na kumkaripia mhudumu:

MTEJA:Kwanini unatumbukiliza kidole chako kwenye supu yangu?

MHUDUMU:Niliambiwa na Daktari kidole changu kisipate baridi, kinahitaji joto.

MTEJA:Fck u, kwanini usikiweke hicho kidole kwenye mk**ndu wako.

MHUDUMU:Nilishakichomeka huko Kabla sijakiweka kwenye supu .

What a Coincidence Is...

* JESUS has 5 letters, but so does SATAN
* HATE has 4 letters, but so does LOVE.
* ENEMIES has 7, but so does FRIENDS.
* LYING has 5, but so does TRUTH.
* HURT has 4, but so does HEAL.
* NEGATIVE has 8, but so does POSITIVE.
* FAILURE has 7, but so does SUCCESS.
* UNDER has 5, but so does ABOVE
Is all this by coincidence?... In this life, you only have one choice.. choose wisely.

Wale wa Mbagala Inawahusu!

Hii imetokea Mbagala katika purukushani za kugombea daladala masikini bibi wa watu akafanikiwa kupata siti,basi kwa furaha machozi yakaanza kumtoka ikabidi konda amuulize ''bibi vipi mbona unalia tena'' yule bibi akamjibu ''aah we acha tu mjukuu wangu nipo hapa Mbagala kwa miaka 30 lakini sijawahi kupata siti kwenye daladala hata siku moja ndio leo nimebahatika konda akamjibu ''duuh pole bibi lakini hiyo siti uliyokalia ni ya dereva''

Soma

Inaburudisha sana pale unapoamka usiku unaangalia saa unagundua bado una masaa mawili zaidi ya kuendelea kulala kabla ya muda wa kuamka kwenda kazini/shuleni/chuoni kufika.

Mbuyu Twitte jana mara baada ya kuwasili Dar


Tuesday, August 28, 2012

NEIL ALDEN ARMSTRONG.ON MOON 1969




BOLT


Three Simple Words

Three Simple Words

Three words together
Are all I can find?
To tell you the way I feel
And so I say them
As I have before
But still
I want to tell you more

So I give you a kiss

And hold you tight
To go with my words so few
And try to express the way I feel
In a different way for you

Three words that's all

No more can I find
To tell you the way I feel
And so I say them
Again, once more
Forgetting
I've told you before

Then you give me a kiss

And look into my eyes
That's when you tell me too
These words
Three words
We both know will do
"I LOVE YOU"

Hii sijui itafutika lini???


Mtoto wa Mzee Yusuf Makmba na mdogo wa Naiibu Waziri wa Mawasiliano,Sayansi na Teknolojia, na vilevile aliyekua Chief officer: Marketing and Corporate Affairs katika kampuni ya Vodacom Tanzania, Mwamvita Makamba amehamishiwa kwenye ofisi ya makao makuu ya kampuni hiyo yaliyopo afrika kusini

Cheka kidogo

Boti ilipokuwa inataka kuzama abiria wakakubaliana watupe mizgo yao baharini! Mzung akatupa compyuta akasema kwe2 zpo tele. Mchna akatupa box la sim akasema kwe2 zpo tele. Mhindi akamwaga kiroba cha tambuu akasema kwe2 zpo kibao. Mmasai aka2pa shanga akasema kwe2 zpo nying. Mchaga akawa anahaha hajui cha ku2pa cos kila ki2 chake alikionea uchungu, ghafla akamsukuma mmasai akasema, Yesu na Maria hawa wapo tele Arusha.

Friday, August 24, 2012

VIDIC RARING TO GO

Nemanja Vidic admits he cannot wait to run out at Old Trafford again after returning from a serious knee injury. The Reds skipper has not appeared at the Theatre of Dreams since last November, when he featured in the 1-1 draw with Newcastle United, and he is desperate to make up for lost time by helping to regain the league title. "I've been waiting for it for a long time," he told United Review, the official matchday programme. "I've already played at Everton, but I'm looking forward to playing at Old Trafford. "It's always nice to run out in front of 75,000 people at home. We have had great support through the years; we know from the first minute we will have really strong support, and we will need that. We know it will be a difficult game and it's important to win and have three points, then we can start from there." Fulham are sure to prove awkward opponents as they head north in great spirits after a 5-0 victory against Norwich on the opening day. "I think they will come to enjoy playing football," he added. "They often play good football and the players they have now are playing some nice short passes, and it's good to play against that kind of team. Obviously it will be a tough game because they had such a good result in their first game, and it's important to them that they can come here and enjoy it. It's a difficult game and obviously we have to be prepared."

HUU NI ULEVI ULIOPITILIZA!! CHUKUA HATUA< ULEVI NOMAAAA!!!




Tulikotoka na tunapoeleka kunajulikana kabisaaaaaa

KAZI NDIO MSINGI WA MAENDELEO. NCHI MASIKINI HAIWEZI KUENDELEA KWA MSINGI WA FEDHA. NCHI MASIKINI HAIWEZI KUJITAWALA KAMA INATEGEMEA MSAADA KUTOKA NCHI ZA NJE- J. K. NYERERE

ULEVI NI NOUMAAAA


Uses of ON and IN when referring date

use of ON when referring date
On is used when the specific date of a month is known.Examples

1.The meeting was conducted on July 6th 2005.
2.The money will be paid to you on August 22nd next year.

use of IN when referring date
In is used when the exact date of the month is not known or you know it but you are not interested in mentioning the exact date you just want to mention the month.

1.The board meeting was conducted in July 2005.(here the date is any date but within the month of July 2005)
2.The money will be paid to you in December 2012.(here the exact day of the month not known or it is known but no need to mention it).
Ni hayo tu kwa leo,one step at a time.
Let me know if you found this information useful to you.

Mume mwema na bora: Sifa na wajibu wake...

Sifa za Mume mwema:

Wapendwa wana JF wenzangu leo nimeona tuongelee sifa za mume mwema; nitasimulia/fafanua kama inavyoongelewa ki Biblia. Nimeona niweke hizi sifa hapa sio tu kwa wanandoa kukumbushana bali hata kwa vijana watarajiwa kuelewa sifa na wajibu wa mume mwema.

Nimeanza na sifa na mistari michache inayoongelea mume katika ndoa ya Kikristo.

1. Aliyesimama katika imani na tayari kuitetea katika familia:

1 Wakorintho 11:3Lakini napenda muelewe kwamba Kristo ni kichwa cha kila mwanamume, kama vile mume alivyo kichwa cha mkewe, na Mungu ni kichwa cha Kristo.

Waefeso 5:23Kwa maana mume ni kichwa cha mke kama vile Kristo alivyo kichwa cha kanisa, ambalo ni mwili wake, naye mwe nyewe ni Mwokozi wa kanisa.

Ikumbukwe huyu ndiye anauamuzi wa mwisho katika familia akiamua kuukana ukristo, kurudi nyuma inakuwa na athari kubwa sana katika familia. Hivyo hii ndio nguzo ya ndoa ya Kikristo.


2. Ampende mkewe:

Waefeso 5:33Hata hivyo kila mmoja wenu ampende mkewe kama anavyoipenda nafsi yake. Upendo ni nguzo ya Pili na pia ni moja ya tunda la Roho katika ndoa.

Hapa naomba nieleze hii ndoa inayoongelewa ni ya Kikristo hivyo upendo huu hauwezi kuutenga na upendo wa Kristo kwa ujumla, je upendo unaelezwaje katika Biblia:


a. Huleteana heshima Warumi 12:10
Pendaneni ninyi kwa ninyi kwa upendo wa kindugu. Waheshimuni wengine kuliko mnavyojiheshimu wenyewe.

b. Hufadhiliana: Atakupa mahitaji yako bila kujali nani anazalisha zaidi, hatajali cheo aua elimu yako. Maana katika ndoa mwingine anaweza panda zaidi ya mwingine lakini sio sababu ya kumwacha kwa kujiona utaonekana duni. (kuwa na kiburi)
1 Wakorintho 13:4 4Upendo huvumilia, upendo hufadhili; upendo hauna wivu au majivuno.

c. Hauna ubinafsi na kusameheana: Hatatunza mañosa yake moyoni atasamehe na kusahau, haujihesabii haki
1 Wakorintho 13:4-8 5Upendo hauna kiburi na haukosi kuwa na adabu. Upendo hautafuti kujipendeza nafsi; haukasiriki upesi, hauweki orodha ya mabaya.

d. Huonyana: atakwambia kama unakosea na siyo kukuacha upotee na marafiki wabaya
1 Wakorintho 13:4-8 6Upendo haufurahii mabaya, bali hufurahia kweli,

e. Hustahimiliana: hata uwe mgumba, mlemavu, unakasoro gani atakuvumilia.
1 Wakorintho 13:4-8 7Upendo huvumilia yote, huamini yote, hutumaini yote, hustahimili yote,

f. Hauna ukomo au mipaka: Atakupenda hadikifo sio siku anaamka ‘mimi na wewe basi” 1 Wakorintho 13:4-8 8Upendo hauna mwisho. Lakini penye unabii, utakoma; zikiwepo lugha zitakoma; yakiwepo maarifa yatakwisha.

3. Heshima na huruma:
Heshima humfanya mtu ajione unamjali, wanaume wengine atasema anapenda lakini anamwita mwenzie hajasoma, ametoka familia duni, hafanani na hali yangu, kwakweli huku ni kumdhalilisha mwenzioa
1 Petro 3: 7 – 9 7Kadhalika ninyi waume, ishini na wake zenu kwa kuwahurumia, mkitambua ya kuwa wao ni dhaifu na hivyo muwape heshima, kwa maana ninyi ni warithi pamoja nao wa neema ya uzima. Fanyeni hivyo ili sala zenu zisizuiliwe.

4. Amtimizie haja zake za kimwili:
Mume anatakiwa kujali mahitaji ya kimwili ya mke, kama mume amesimama katika imani yake ataenenda kwa roho na mke vivyo ni roho atakaewaongoza hata katika hili na si mikanda ya video, magazeti au daktari labda uwe na ugonjwa.
1 Korintho 7: 3-5: 3Mume atimize wajibu wake wa ndoa kwa mkewe; na hali kadhalika mke kwa mumewe. 4Kwa maana mke hatawali mwili wake mwenyewe, bali mume wake ndiye autawalaye. Vivyo hivyo, mume hata wali mwili wake mwenyewe, bali mkewe ndiye anayeutawala. 5Msinyimane, isipokuwa kama mmekubaliana kufanya hivyo kwa muda mfupi ili muwe na nafasi nzuri ya maombi. Lakini baada ya muda huo rudianeni tena shetani asije akapata nafasi ya kuwajaribu kwa sababu ya kushindwa kujizuia.

5. Ajue kulea watoto:
Mume ndiye baba pia hivyo asiishie kupenda mke tu watoto hajui wanasoma vipi, wanaishi vipi, anaacha malezi na makuzi yote kwa mama, siku watoto wakiharibika anaanza kumlaumu mama. Watoto wanahitaji wazazi wote wawili ili kukua katika mwenendo mzuri wa maadili ya Kikristo.
1 Timotheo3: 4 4Aweze kuisimamia nyumba yake vizuri akiwafanya watoto wake kuwa wanyenyekevu na wenye heshima katika hali zote. (Hata kama imetajwa kuwa ni sifa ya Askof ila imebainishwa ni moja ya sifa za mume)

6. Aiheshimu ndoa / asiwe mzinzi:
Kuna wanaume ambao anaweza kukupatia mahitaji yote muhimu, lakini ni mzinzi tena wala hafichi, hii kwakweli ndio sababu kubwa ya kuvunjika ndoa nyingi sasa hivi. Ulipoapa mbele za Mungu utampenda mwenzio hadi kifo iweje uchangie upendo huu na wengine, hapa ni kama umesema “nilikupenda lakini sasa nimepata mwingine hivyo unamruhusu aondoke katika ndoa yenu” wengine hawaishii hapa anafukuza na kuoa mwingine kabisa. Mwanamke anahitaji kuona kuwa yeye ndiye pekee anayepewa upendo huu na mumewe na sio kuchangia na msururu wa wenza.
Waebrania 13:4 Ndoa iheshimiwe na watu wote, na wenye ndoa wawe waaminifu kwa wenzi wao ; maana Mungu atawahukumu wazinzi na waasherati.
Mathayo 19:9-11 9 Nami nawaambieni, mtu ye yote anayemwacha mkewe, isipokuwa kwa sababu ya uasherati, akaoa mke mwingine, anazini.'' [``Na mtu anayemwoa mwanamke aliyepewa talaka pia anazini.'']


7. Anayejitegemea kwa kimawazo na mali:

Kuna waume ambao pamoja na umri wa kuoa bado anategemea baba, mama, kaka, dada kwa mahitaji yake na pia hata mawazo afanye nini. Sio vibaya kukaa na ndugu hasa kama ni wema na wanatabia nzuri pia wasioingilia ndoa yako. Na ni vizuri pia kupata ushauri wa waliotuzidi katika mambo mbalimbali unayotaka kufanya lakini isiwe ni kikwazo cha upendo, heshima na uhuru wa ndoa yenu. Mume awe anajitegemea awe mbunifu akimshirikisha mkewe ili pamoja waweze kujitegemea na sio kutegemea wazazi hadi kutawaliwa hapa hata uimara wa Imani yake unaegemea huko anakofadhiliwa.

Marko 10:7Na kwa sababu hii mume atamwacha baba yake na mama yake na hao wawili, watakuwa mwili mmoja.

Hapa ina maana aweze kumtunza mkewe na familia pamoja na kumwezesha.

Mbarikiwe

Huku kwetu tunacheza la aina hii sijui huko kwenu



WACHEZAJI WAVUTA BANGI KUKIONA-TFF

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limesema litaanza kufanyia kazi kwa vitendo tatizo la utumiaji wa dawa za kulevya hususan bangi unaodaiwa kufanywa na baadhi ya wachezaji hapa nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Rais wa TFF, Leodegar Tenga, alisema miongoni mwa changamoto kubwa zinazowakabili ni kile kinachodaiwa kuwa baadhi ya wachezaji wanatumia bangi, ingawa bado hawajapata ushahidi.
“Tunasikia, lakini hatuna ushahidi, kwamba vijana wetu wanatafuna bangi, ila viongozi wengi wamekuwa wakilisemea pembeni, sisi kama wazazi jukumu letu ni kuwaelimisha juu ya athari zake, maana wao wanaotumia wanaweza kuona inawaongezea hamasa, lakini hawajui madhara yake,” alisema Tenga.
Alisema wameagiza suala hilo lianze kufanyiwa kazi katika timu ya taifa, Taifa Stars na Ligi Kuu Bara, ambako viongozi wanapaswa kukaa chini na vijana wao kuwapa elimu nasaha, kabla ya kuanza kuchukuliwa hatua.
“Bangi na mpira ni vitu viwili tofauti, tumeagiza elimu ianze kutolewa kuanzia national team (timu ya taifa) na Premier League (Ligi Kuu), ikiwezekana waletewe hata wataalamu waweze kuwapa elimu kabla hatujaanza kuchukua hatua, ambapo kutakuwa na testing (vipimo) ya kushtukiza na atakayekataa, kanuni zinachukua mkondo wake mara moja,” alisisitiza Tenga.
Tenga aliongeza kuwa, suala hilo litawekwa katika kanuni za Ligi Kuu na tayari Kamati ya Tiba imepewa maelekezo kuhusiana na hilo, ambapo litaanza kufanyiwa kazi mara tu elimu itakapokuwa imetolewa kwa walengwa.
Jumamosi iliyopita, Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Dk. Fenera Mukangara pia aliwataka wachezaji chipukizi kutojiingiza katika utumiaji wa dawa za kulevya wakati akitoa zawadi kwa washindi wa michuano ya BancABC SUP8R, ambapo Simba walitwaa ubingwa.
Katika hatua nyingine, Tenga ameelezea kufurahishwa na hamasa iliyoko katika usajili hapa nchini, lakini akakosoa watu wasio wataalamu wa ufundi kuendesha zoezi hilo, badala ya makocha au kamati za ufundi.
Alisema walikubaliana kuruhusu usajili wa nyota kutoka nje kwa lengo la kuhamasisha ushindani hapa nchini, kwani njia nzuri ya kumpa ujuzi mchezaji ni kumpa nafasi kucheza na yule aliye mzuri zaidi.
“Utamaduni duniani kote, usajili unafanywa na kocha, lakini hapa mchezaji anasajiliwa na mdhamini au kiongozi, mambo ambayo hujiingiza kwenye matatizo, timu ikifungwa wanachama wanakufuata nyumbani. Mi huwa nashangaa timu ikifungwa watu wanavamia viongozi, kumbe hatujajiweka vizuri,” alisema.
Tenga alitaka wataalamu ndio wapewe jukumu hilo, huku akisisitiza kuwa, vijana wenye vipaji ambao wapo hivi sasa hapa nchini wapewe nafasi na si lazima kukimbilia nje, labda iwe kwa mchezaji mzuri zaidi.
Chanzo: Tanzania Daim

Messi, Pedro na Xavi waiangusha Real Madrid 3:2

Barcelona came from behind to take a slender lead from the first leg of the Spanish Supercopa at the Camp Nou.
Cristiano Ronaldo headed Real into the lead against the run of play 10 minutes into the second half from Mesut Ozil's corner, but Barcelona responded as Pedro showed great poise to slot home a minute later.
The action then raced from end to end and it was the hosts who forged ahead 20 minutes from time when Lionel Messi scored from the penalty spot after Sergio Ramos had brought down Andres Iniesta.
Then a terrific jinking run from Iniesta freed Xavi to stroke home Barcelona's third goal seven minutes later.
However, the visitors were gifted a way back into the tie five minutes from time when Barcelona goalkeeper Victor Valdes tried to dribble around Angel Di Maria and only succeeded in gifting the Argentinian an open goal.
Barcelona were deserving of the victory but may rue not taking full advantage after dominating for large spells against a Real side who failed to find the cohesion that had seen them go unbeaten in three of their last four trips to the Camp Nou.
Messi had the first real chance of the game when a typically sharp Barcelona passing exchange freed Dani Alves down the right and his cut-back found the Argentinian on the edge of the penalty area, but his left-footed drive flew just off target.
The world player of the year then had an even better opportunity from similar range as he skipped past Alvaro Arbeloa but this time pulled his shot wide of the other upright.
Real were struggling to manage any prolonged possession and were relieved to see referee Carlos Clos Gomez wave away appeals for a penalty when Alexis Sanchez tumbled in the box under pressure from Ramos.
However, for all their dominance Barcelona only had another two long-range efforts on goal as Pedro's drive was tipped over by Iker Casillas before Xavi shot just over from similar range.
And it was the visitors who took the lead 10 minutes into the second period as Ozil's corner was bulleted in by Ronaldo for his fourth goal in his last four away games against Barcelona.
The lead lasted less than a minute as a wonderful ball over the top from Javier Mascherano found Pedro in behind Fabio Coentrao and the Spanish international slotted past Casillas.
The game then became increasingly stretched as both sides tired slightly from playing in the still searing heat, despite the 10.30pm kick-off time, and the visitors' luck with Gomez eventually ran out as Iniesta was brought down inside the area by Ramos and Messi stepped up to thunder home the penalty.
Moments later Iniesta showed incredible speed of foot to dance past three Real challenges and slip a pass through for Xavi to sidefoot past Casillas.
Messi then had a great chance to all but seal the trophy but he was denied from point-blank range by Casillas, and within seconds the complexion of the tie had completely changed as Valdes' error allowed Di Maria to give Madrid a lifeline heading into the return at the Bernabeu next Wednesday.

Kweli tembea uone!!!

Polisi kufunguka leo kuhusu kilichomkuta Dk Ulimboka

POLISI Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, leo watazungumzia hatua ilizofikia katika uchunguzi wa tukio la kutekwa, kuteswa na kutupwa katika Msitu wa Pande kwa kiongozi wa Jumuiya ya Madaktari nchini, Dk Steven Ulimboka. Pamoja na suala la Dk Ulimboka, imesema pia itazungumzia mambo kadhaa yanayohusu usalama wa nchi. Kamanda wa Polisi, Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova aliliambia gazeti hili kuwa atazungumzia suala la Dk Ulimboka ili kuweka wazi kwa umma kuhusu tukio hilo lililokuwa gumzo katika siku za hivi karibuni. Kamanda Kova alitoa kauli hiyo alipotakiwa na gazeti hili kueleza endapo Dk Ulimboka ni mmoja wa mashahidi katika kesi iliyokwishafunguliwa kuhusu tukio la kutekwa kwake. “Tutazungumza na wananchi na wanahabari kwa ujumla kuhusu mambo mengine yanayohusu usalama wa nchi pamoja na hatua tulizofikia katika uchunguzi wa kitendo cha kutekwa na kupigwa kwa Dk Ulimboka,” alisema Kova. Hata hivyo, Kova hakutaka kuzungumzia suala la mtu anayedaiwa kujitokeza na kukiri kuwa ndiye mtekaji wa Dk Ulimboka na yale yaliyoandikwa katika gazeti la Mwanahalisi akidai kuwa mambo hayo yapo mahakamani. “Sisi tutaweka wazi wajibu tulioufanya na hatua tulizofikia kuhusu kutekwa kwake, mambo mengine ni ya kimahakama, hatuwezi kuyaingilia,” alisema Kova. Kova aliwataka Watanzania kuliamini Jeshi la Polisi na kusisitiza kuwa linafanya kazi yake kwa uadilifu na litahakikisha kuwa ukweli kuhusu tukio hilo lililovuta hisia za watu wengi, unafahamika.  

Kutekwa kwa Dk Ulimboka 
Dk Ulimboka ambaye anatajwa kuwa kinara wa mgomo wa madaktari, alitekwa usiku wa Julai 26 mwaka huu na kujeruhiwa vibaya, kisha kutelekezwa katika Msitu wa Pande, nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Kutokana na tukio hilo, daktari huyo wa magonjwa ya binadamu alitibiwa kwa muda katika Hospitali ya Taifa Muhimbili na baadaye kupelekwa nchini Afrika Kusini kwa matibabu zaidi. Tangu arejee nchini, Dk Ulimboka amekuwa kimya na mara kadhaa akigoma kuzungumzia yaliyomtokea akisisitiza kuwa muda wa kufanya hivyo haujafika. Lakini wakati daktari huyo akigoma kueleza kilichomsibu, wanaharakati wa masuala ya binadamu wameshatoa tamko kuituhumu Serikali kwamba inahusika, na hivyo kuitaka ilifungulie gazeti la Mwanahalisi walilodai kuwa lilifungwa kutokana na kuandika ukweli kuhusu tukio hilo.

HII NDO RANGE LOVER MPYA

The all-new Range Rover features the next-generation of Land Rover’s Terrain Response® system, analysing the current driving conditions and automatically selecting the most suitable vehicle settings for the terrain. The result, peerless handling, agility and ride quality.

THE BEAUTY OF AFRICA

K'Lyn kitu kimekubaliiii!!

NYOKA WA AJABU AGUNDULIKA

Wanasayansi nchini Brazil wamegundua aina ya nyoka vipofu wenye umbo kama uume wa binadamu. Nyoka hawa wa ajabu aina ya ‘atretochoana eiselti’ walipatikana kwenye bwawa la kuzalisha umeme ambapo wakandarasi walikuwa wakifanya ukarabati kwenye misitu ya Amazon. Wana baiolojia waliwapata nyoka hawa wenye umbo la ajabu sita wenye urefu wa mita moja chini ya mto Madeira huko Rondonia, Brazil.

Waandishi wa habari wa Nipashe Wametekwa na kufungwa Minyororo na Askofu Mukombo Boko Magengeni

Askofu MUkombo Muyodi ambaye amughushi jina na Kujiita Mulilege Mkombo amewateka Waandishi wawili Wa Nipashe na kuwapiga baada ya kuwafunga minyororo na kuwaburuza vibaya. Tukio hilo limetokea sasa hivi wameokolewa na sasa wapo kituo cha polisi Wazo Hill Tegeta!!! Kazi hiyo imefanywa na kikundi cha Mabounce wakiwemo Wachungaji waliotokea Kongo na kujificha katika kanisa hilo eneo la Boko Magengeni!!!!!!!!!!!! Waandishi hao walifika hapo kufuatia Mwaaliko wa mke mdogo wa Askofu Mkombo aitwaye Greener Sakajinga Paulini au Greener Mwamfupe au Greener Mwakabenga ambaye ni mfanyakazi wa Halmashauri Ilala Kwa nafasi ya Mwasibu anayetumia namba 0717655775, 07638182244 akisaidiwa na Mwaandishi wa gazeti la Nyakati aitwaye Jackson Malugu ambaye amepewa cheo hapo kanisani kwa Askofu Mkombo. Mch Simbaya 0755 001111 ndiye aliyekuwa anasimamia zoezi hilo

Diamond aitwa Ikulu

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amemuita ikulu mwanamuziki anayefanya vizuri kwa sasa kwenye Bongo Fleva, Nasibu Abdul Jumaa ‘Diamond Platnumz’ na kumpa jukumu maalum, Ijumaa linairusha hewani. Kwa mujibu wa Diamond, juzikati ‘prezidenti’ alimwita ikulu Magogoni, Dar es Salaam na kumpa shavu la kwenda kufanya shoo kwenye mkutano maalum utakaofanyika Washington DC nchini Marekani hivi karibuni. “Yaa, rais aliniita akaniambia kuna shoo natakiwa kwenda kufanya Marekani. “Kwa mara ya kwanza nitasafiri nje ya nchi na madensa wangu wanne na msemaji mmoja. Sasa hivi hawataki kutembea na kupanda magari wasije wakakosa hiyo safari,” alisema Diamond na kuongeza kuwa baada ya kuumwa, mawazo aliyaweka kwenye mchongo huo hivyo mambo mengine yataendelea ikiwa ni pamoja na kufanya kolabo na mwanamuziki wa kimataifa wa Nigeria, J. Martins.

Monday, August 20, 2012

FELLAINI STUNS MAN UNTD

The only goal scorerer Fellaini following a corner kick on the second half makes a bad start for man u in this epl 1st match. Everton managed to secure all 3 points after a win of 1 - 0 over man u.

Sunday, August 19, 2012

City scrape win, Hazard shines for Blues

Chelsea fc defeated Wigan by 2 goals, goals scored by Ivanovic and Lampard. Also man city secured their first match by defeating Southamptom 3 by 2. Man city goals were scored by Tevez, dzeko and Nasri.

Eid Mubarak

Leo ni siku ya Eib Mubarak kwa waumini wote wa dini ya kiislam duniani baada ya kua katika mfungo wa Ramadhan kwa takribani siku 30. Nawatakia sikukuu njema ya Eid!

Alex Song naye atimkia Barcelona.

Siku moja tu baada ya mshambuliaji tegemezi wa arsenal Robin VanPersie kuhamia timu ya manchester united kwa euro mil 24 nae kiungo wa timu hiyo Alex Song amejiunga rasmi na timu ya Barcelona kwa uhamisho wa euro mil 19. Mchezaji anatarajiwa kufanya vipimo vya afya kesho na akifuzu atatambulishwa rasmi katika klabu hiyo tayari kwa kuanza kazi.

Simba wanyakua ubingwa wa Super8 mbele ya Mtibwa sugar.

Kikosi cha Simba B jana jioni kilipata ubingwa wa ligi ya super8 baada ya kuifunga timu ya mtibwa sugar kwa jumla ya magoli 4 kwa 3. Kikosi hicho cha simba B kikiwa chini ya kocha Suleiman Matola kilifanikiwa kuingia fainali hiyo baada ya kuifunga Azam fc kwa magoli 2 kwa 1. Nao mtibwa sugar waliifunga timu ya mafunzo toka zanzibar kwa jumla ya magoli 5 kwa 1. Katika mchezo huo wa fainali, simba walionekana kutakata na kuonyesha kandanda safi mbele ya mashabiki wao. Kikosi hicho cha simba kilifanikiwa pia kutoa mchezaji bora kwa ufungaji na golikipa bora ambao walipata tzs mil 2.5 kila mmoja. Bingwa wa mashindano hayo amejinyakulia kitita cha tzs mil 40 huku mshindi wa pili akiambulia mil 20.

Friday, August 17, 2012

Love is not about finding the right person

Love is not about finding the right person, but creating a right relationship. It's not about How much love you have in the beginning but how much love you build till the end.

Living for Others is the Rule of Nature

Nothing in the nature lives for itself Rivers don't drink their own water Trees don't eat their own fruit Sun doesn't give heat for itself Moon doesn't ever go on honeymoon Flowers don't spread fragrance for themselves Moral: Living for Others is the Rule of Nature

Fungua mdomo

katika basi mama mmoja alitaka kumnyonyesha mtoto.mtoto akakataa,mama akamwambia ''nyonya kama hutaki nampa anko anyonye'' anko ni kaka mmoja abiria aliyeketi na huyo mama. Mtoto akanyonya kidogo akaacha.Mama akamtishia tena kumpa anko.Ndipo yule kaka kwa hamaki akasema ''mama uwe na msimamo.Unajua nimepitiliza vituo vinne kwa ajili yako,hebu kuwa ...

LOVE

We’re all seeking that special person who is right for us. But if you’ve been through enough relationships, you begin to suspect there’s no right person, just different flavors of wrong. Why is this? Because you yourself are wrong in some way, and you seek out partners who are wrong in some complementary way. But it takes a lot of living to grow f...

God Loves Ugly

You said I wasn't pretty So I just believed you and you said That I wasn't special so i lived that way With critical gazes and Brutal amazement And how my reflection could be so Imperfect, with all of my blemishes How could somebody want me? But God Loves Ugly He doesn't see the way i see Ooh God takes Ugly And turns it into something that is Beautiful appare...

SINYAG.COM: Wife

SINYAG.COM: Wife

Wife

UTUKUFU WA BUNGE LA TANZANIA

Kama tunavyofahamu bunge letu linajulikana kama ni bunge tukufu la Tanzania. Kwa maoni yangu ukipitia maamuzi mengi ndani ya bunge hili sioni utukufu wowote wa kustahili kuliita bunge letu ni Bunge tukufu la Tanzania. Kipi walichokifanya tangu wateuliwe katika uchaguzi wa 2005 ambacho kinaonyesha utukufu wa Bunge hilo? Ukiondoa wabunge wachache wa CCM ambao hawafiki hata 10 na wabunge wote wa upinzani naweza kabisa kutamka kwamba Bunge hilo halina utukufu wowote. Nasema kwamba Bunge letu halina utukufu wowote kwa sababu mbali mbali na nitazitaja hapa. Bunge hilo limeendelea kuwakumbatia mapapa mafisadi ndani ya Bunge hilo akiwemo Lowassa aliyehusika moja kwa moja na tuhuma za ufisadi wa Richmond/Dowans. Karamagi ambaye pamoja na bunge hili kufikia makubaliano kwamba mkataba wa kampuni yake ya TICTS na serikali uvunjwe tangu mwaka 2008 hadi hii leo hakuna ufuatiliaji wowote ndani ya Bunge ili kujua kwanini serikali hadi hii leo haijavunja mkataba huo pamoja na kushauriwa kufanya hivyo na Bunge. Na pia alihusika katika kuudanganya umma wa Tanzania kuhusu mkataba wa uchimbaji dhahabu wa Buzwagi. Rostam Azizi ambaye ana tuhuma mbali mbali za ufisadi wa mabilioni kupitia Richmond/Dowans, Kagoda na pia inasemekama yumo pia kwenye Meremeta na Tangold. Chenge au kwa jina maarufu la "Mzee wa Vijisenti" ambaye pamoja na kugundulika kwamba alijipatia fedha haramu katika ununuzi haramu wa rada ambao ulipigiwa debe sana na mafisadi Mkapa na Mramba. Kama mtakumbuka kauli ya fisadi Mramba kwamba "Hata majani tutakula lakini Rada lazima inunuliwe" sina haja ya kuandika zaidi yaliyojiri katika ununuzi huo haramu wa rada. Fisadi Mkono ambaye alilipwa bilioni 8 na BoT ambazo hadi hii leo ameshindwa kuthibitisha alifanya kazi gani BoT kwa muda gani hadi kustahili kulipwa pesa nyingi kiasi hicho. Pamoja na Gavana kuunda tume ya kufuatilia uhalali wa Mkono kulipwa mapesa hayo yote, hadi hii leo Gavana Ndullu hajatwambia kuhusu hatma ya kazi aliyowapa kamati hiyo. Fisadi Mzindakaya ambaye alipatiwa mkopo wa mabilioni na BoT pamoja na kuwa bank hiyo haihusiki kutoa mikopo kwa watu binafsi kwani kazi hiyo hutakiwa kufanywa na mabenki ya biashara ambayo yako chungu nzima nchini. Bunge hili pia hadi hii leo limeshindwa kufuatilia wizi uliofanywa na fisadi Mkapa na fisadi Yona wa kukupua Mgodi wa Kiwira ambao baada ya kufanyiwa tathmini na wataalamu ulionekana una tamani ya shilingi bilioni 7, lakini mafisadi hao waliamua kujiuzia mgodi huo kwa 10% tu ya thamani yake na ambayo ni sawa na shilingi milioni 700 kulipa 1% ya thamani ya mgodi huo ambayo ni sawa na shilingi 70 millioni. Pia bunge hilo limeshindwa kufuatilia ukwapuaji wa nyumba ulioidhinishwa na fisadi Mkapa kwa kushirikiana na mafisadi wenziye katika awamu yake wa kuuza nyumba za serikali kwa bei ya kutupa. Ukwapuaji huo umesababisha serikali kuingia hasara ya shilingi bilioni 200. Bunge hili pia hadi hii leo limeshindwa kufuatilia ahadi za Waziri Mkuu Pinda katika kutekeleza mapendekezo ya kamati ya Mwakyembe kuhusiana na ufisadi wa Richmond ambapo pia waliishauri serikali kuwaondoa Mkuu wa TAKUKURU Edward Hosea na Mwanasheria Mkuu Mwanyika Bunge hili limeshindwa kufuatilia kelele za Watanzania kuhusiana na mikataba ya uchimbaji madini yetu ambayo haina maslahi yoyote kwa Watanzania ambayo mingi ilisainiwa katika awamu ya tatu. Mikataba ya uchimbaji wa dhahabu, Tanzanite na hata almasi zetu. Pia kama mtakumbuka hivio karibuni tumeona juhudi kubwa za Sitta kuzuia mijadala mizito kuhusiana na mambo mbali mbali yenye maslahi makubwa kwa Watanzania kama ule mradi wa vitambulisho ambao inasemekana utagharimu shilingi 200 bilioni na kuchunguzwa kwa ufisadi mkubwa uliofanywa na makapuni ya Meremeta na Tangold labda na deep green ambapo at least shilingi 155 bilioni kama siyo zaidi zilikupuliwa na mafisadi. Sasa kwa visingizio ambavyo havina kichwa wala miguu Sitta na Pinda wanadai kwamba Meremeta na Tangolod inalihusisha jeshi letu na hivyo hilo linagusa 'usalama wa Taifa' hivyo wizi huo mkubwa wa shilingi 155 bilioni haustahili kujadiliwa wala kuchunguzwa na yeyote yule nchini. Kwa ushahidi niliotoa hapo juu mimi naamini kabisa Bunge letu ukiondoa wabunge wachache ambao hawafiki hata 10% ya Wabunge wote limepoteza mwelekeo na halistahili tena kuitwa "Bunge Tukufu la Tanzania" kwani utukufu huo umeshapotea miaka mingi sasa. Hili linastahili kuitwa Bunge la Mafisadi Tanzania maana siku zote liko mstari wa mbele kuficha madhambi ya mafisadi waliojaa tele katika serikali ya awamu ya tatu na hii iliyopo madarakani na pia wamejaa tele ndani ya Chama Cha ....... Hili Bunge letu sasa linastahili kuitwa Bunge Har........ la ....... mtajijua! Mungu ibariki Tanzania Tafakari!

Cancer

Definition Cancer is the uncontrolled growth of abnormal cells in the body. Cancerous cells are also called malignant cells. Alternative Names Carcinoma; Malignant tumor Causes, incidence, and risk factors Cells are the building blocks of living things. Cancer grows out of normal cells in the body. Normal cells multiply when the body needs them, and die when the body doesn't need them. Cancer appears to occur when the growth of cells in the body is out of control and cells divide too quickly. It can also occur when cells “forget” how to die. There are many different kinds of cancers. Cancer can develop in almost any organ or tissue, such as the lung, colon, breast, skin, bones, or nerve tissue. There are many causes of cancers, including: Benzene and other chemicals Certain poisonous mushrooms and a type of poison that can grow on peanut plants (aflatoxins) Certain viruses Radiation Sunlight Tobacco However, the cause of many cancers remains unknown. The most common cause of cancer-related death is lung cancer. The three most common cancers in men in the United States are: Prostate cancer Lung cancer Colon cancer In women in the U.S., the three most common cancers are: Breast cancer Colon cancer Lung cancer Some cancers are more common in certain parts of the world. For example, in Japan, there are many cases of gastric cancer, but in the U.S. this type of cancer is pretty rare. Differences in diet may play a role. Some other types of cancers include: Brain cancer Cervical cancer Hodgkin's lymphoma Kidney cancer Leukemia Liver cancer Non-Hodgkin's lymphoma Ovarian cancer Skin cancer Testicular cancer Thyroid cancer Uterine cancer Symptoms Symptoms of cancer depend on the type and location of the tumor. For example, lung cancer can cause coughing, shortness of breath, or chest pain. Colon cancer often causes diarrhea, constipation, and blood in the stool. Some cancers may not have any symptoms at all. In certain cancers, such as gallbladder cancer, symptoms often do not start until the disease has reached an advanced stage. The following symptoms can occur with most cancers: Chills Fatigue Fever Loss of appetite Malaise Night sweats Weight loss Signs and tests Like symptoms, the signs of cancer vary based on the type and location of the tumor. Common tests include the following: Biopsy of the tumor Blood chemistries Bone marrow biopsy (for lymphoma or leukemia) Chest x-ray Complete blood count (CBC) CT scan Most cancers are diagnosed by biopsy. Depending on the location of the tumor, the biopsy may be a simple procedure or a serious operation. Most patients with cancer have CT scans to determine the exact location and size of the tumor or tumors. A cancer diagnosis is difficult to cope with. It is important, however, that you discuss the type, size, and location of the cancer with your doctor when you are diagnosed. You also will want to ask about treatment options, along with their benefits and risks. It's a good idea to have someone with you at the doctor's office to help you get through the diagnosis. If you have trouble asking questions after hearing about your diagnosis, the person you bring with you can ask them for you. Treatment Treatment also varies based on the type of cancer and its stage. The stage of a cancer refers to how much it has grown and whether the tumor has spread from its original location. If the cancer is confined to one location and has not spread, the most common goals for treatment are surgery and cure. This is often the case with skin cancers, as well as cancers of the lung, breast, and colon. If the tumor has spread to local lymph nodes only, sometimes these can also be removed. If surgery cannot remove all of the cancer, the options for treatment include radiation, chemotherapy, or both. Some cancers require a combination of surgery, radiation, and chemotherapy. Although treatment for cancer can be difficult, there are many ways to keep up your strength. If you have radiation treatment, know that: Radiation treatment is painless. Treatment is usually scheduled every weekday. You should allow 30 minutes for each treatment session, although the treatment itself usually takes only a few minutes. You should get plenty of rest and eat a well-balanced diet during the course of your radiation therapy. Skin in the treated area may become sensitive and easily irritated. Side effects of radiation treatment are usually temporary. They vary depending on the area of the body that is being treated. If you are going through chemotherapy, you should eat right. Chemotherapy causes your immune system to weaken, so you should avoid people with colds or the flu. You should also get plenty of rest, and don't feel as though you have to accomplish tasks all at once. It will help you to talk with family, friends, or a support group about your feelings. Work with your health care providers throughout your treatment. Helping yourself can make you feel more in control. Support Groups A cancer diagnosis often causes a lot of anxiety and can affect your entire quality of life. Several support groups for cancer patients can help you cope. Expectations (prognosis) The outlook depends on the type of cancer. Even among people with one type of cancer, the outcome varies depending on the stage of the tumor when they are diagnosed. Some cancers can be cured. Some cancers that are not curable can still be treated well. And some patients can live for many years with their cancer. Other tumors are quickly life-threatening. Complications One complication is that the cancer may spread. Other complications vary with the type and stage of the tumor. Calling your health care provider Contact your health care provider if you develop symptoms of cancer. Prevention One of the best ways to prevent cancer is to not smoke or chew tobacco. Many cancers can be prevented by avoiding risk factors such as excessive exposure to sunlight and heavy drinking. Cancer screenings, such as mammography and breast examination for breast cancer and colonoscopy for colon cancer, may help catch these cancers at their early stages when they are most treatable. Some people at high risk for developing certain cancers can take medication to reduce their risk.

Winfrida Godfrey

Good Communication Equals Good Sex

Communication is the cornerstone to good sex. However, sex and relationship expert Dr. Laura Berman has noted that talking about sex with your partner can be daunting, even for couples who have been together a long time. Knowing how to talk openly and comfortably can help solve sexual intimacy problems that arise in the normal course of a relationship, wrote HealthyPlace.com. Dr. Berman recommended picking a neutral time and place when both partners can be relaxed and be totally open with each other. HealthyPlace.com advised to sit reasonably close and maintain eye contact. Be aware of your voice’s tone and volume. SheWired.com advised that you really listen to your partner and avoid being judgmental. Be honest, but also be kind, said Dr. Berman. You can be direct without being cruel. For example, instead of saying, “I feel that our sex life is boring and you never do anything to make me feel attractive or special,” you can say, “I crave more excitement in our love life. I want to feel attractive and sexy, the way I used to feel when we had sex.” Your partner is not a mind reader, Dr. Maureen Whelihan who works with couples at the Center for Sexual Health and Education, told WCNC.com. SheWired.com wrote that you should be specific. If you want something in particular, say so. You’ll never know how your partner feels about something until you ask. It’s also important to compromise and open your mind to things you might not have considered before. When discussing sexual intimacy concerns, keep in mind that partners may feel scared, embarrassed or hurt, cautioned HealthyPlace.com. Emphasize what you like and what works well, before making a new request or sharing displeasure. Give the appreciation you seek, wrote Dr. Berman. We all want to feel desirable and sexy, and yet we may rarely be giving our partners the support they need to feel that way. The more we compliment them, the sexier they will feel, and vice versa. Be patient with yourself and your partner as you work to develop new communication skills, said HealthyPlace.com. It takes time and a lot of practice to open up emotionally and discuss sex in safe and sensitive ways. Relax. It’s just sex. Not brain surgery. Try to enjoy talking about sex as much as you enjoy having it, advised SheWired.com. If you put off telling your partner what you need, it will chip away at your happiness and your bond, said Dr. Berman. Although conversations about sex can be daunting, they are worthwhile and help lead to good sex.

Wednesday, August 1, 2012

BUNGE LISIZUIWE KUINGILIA KATI MGOGORO KATI YA WALIMU NA WANAFUNZI DHIDI YA SERIKALI KWA KISINGIZIO CHA KESI KUWA MAHAKAMANI

Tarehe 1 Agosti 2012 niliieleza Ofisi ya Waziri Mkuu kupitia swali langu la msingi bungeni kwamba serikali hutoa ruzuku (capitation grants) kwa wanafunzi wa Shule za Msingi na Sekondari za Umma zikiwemo za Jimbo la Ubungo, japo utekelezaji wa sera husika huwa unasuasua sana kwa kiwango kilichowekwa kutokulingana na mahitaji halisi ya wanafunzi; viwango vinavyotengwa katika Bajeti ni chini ya vinavyotajwa kwenye Sera na Fedha hazitolewi zote isipokuwa hutolewa kidogo kidogo na hazifiki kikamilifu mashuleni; nikahoji ni lini serikali itarekibisha hali hiyo ili kuboresha elimu nchini. Ofisi ya Waziri Mkuu katika majibu yake imekiri kwamba kweli viwango vya ruzuku kwa ajili ya uendeshaji wa shule za msingi na sekondari havijafikiwa mpaka sasa na hata fedha zinazotengwa kwa mujibu wa bajeti hazitolewi kwa kiwango kilichopitishwa na bunge kwa kile alichoeleza kuwa ni makusanyo ya Serikali. Niliuliza maswali mawili ya nyongeza; nilihoji ni lini serikali itatekeleza sera husika kwa kuwa upungufu wa ruzuku kwa shule za umma ni kati ya vyanzo vya kuporomoka kwa elimu kutokana na kuathiri uendeshaji wa shule ikiwemo upatikanaji wa vifaa shuleni, na kwa kuwa kwenye vyombo vya habari jana na leo kati walimu na wanafunzi wameeleza kwamba hali hiyo ni kati ya sababu za mgomo unaoendelea hivyo nikata serikali itoe kauli bungeni ya kuutafutia ufumbuzi mgogoro unaoendelea. Hata hivyo Spika wa Bunge alimkataza Naibu Waziri asijibu swali kuhusu mgogoro kati ya walimu na wanafunzi dhidi ya serikali na kutaka kujibiwa kwa swali ya lini ruzuku itaanza kutolewa kwa kuzingatia viwango vya sera hata hivyo serikali ilitaja kiwango cha fedha ya ruzuku kwa mwaka wa fedha 2012/2013 bila kueleza iwapo viwango kwa mujibu wa sera vitafikiwa kwenye ngazi zote ikiwemo katika shule za msingi. Kwa mara nyingine tena Bunge limezuia kupewa taarifa kuhusu masuala hayo kwa kisingizio cha kesi kuwa mahakamani hatua ambayo inadhihirisha kwa mara nyingine tena umuhimu wa kusikilizwa kwa rufaa niliyokata tarehe 31 Julai 2012 ili suala la mgomo wa walimu, madai ya wanafunzi na hatma ya sekta ya elimu lijadiliwe kwa dharura bungeni. Nimefanya hivyo kwa niaba ya walimu, wanafunzi na wadau wengine wa elimu katika Jimbo la Ubungo na Tanzania kwa ujumla ili bunge lipewe fursa ya kutimiza wajibu wake wa kikatiba kuisimamia serikali itekeleze madai ya walimu na kuepusha athari za migogoro inayoendelea katika shule za umma nchini. Tarehe 30 Julai 2012 kwa nyakati mbalimbali kumetolewa miongozo na maamuzi na Mheshimiwa Naibu Spika Job Ndugai ya kukataa hoja kwa mujibu wa Kanuni ya 47 ya kuahirishwa kwa Shughuli za Bunge kujadili jambo la dharura la mgomo wa walimu na yatokanayo na mgomo huo kwa kutumia kanuni ya 64 (1) (c) ya kanuni za bunge toleo 2007 ambayo inamkataza mbunge kuzungumzia jambo lolote ambalo linasubiri uamuzi wa mahakama. Nimewasilisha rufaa kwa mujibu wa kanuni ya 5 (4) kueleza kutoridhika na uamuzi wa Naibu Spika wa kutumia kanuni ya 64 (1) (c) kudhibiti Bunge kutumia uhuru na mamlaka yake kwa mujibu wa katiba ya nchi; sheria ya haki, kinga na madaraka ya bunge na kanuni nyingine za Kanuni za Kudumu za Bunge kwa sababu tatu. Mosi, Suala la yatokanayo na mgomo wa walimu hususani hali tete ya sekta ya elimu kwenye shule za umma haliko mahakamani, kilichopo mahakamani ni mgogoro kati ya Chama cha Walimu Tanzania (CWT) na serikali kuhusu madai ya walimu: Pili, hata masuala yanayosubiri uamuzi wa mahakama ambayo yamewekewa masharti kwa mujibu wa kanuni 64 (1) (c) yanaweza kuruhusiwa kujadiliwa bungeni kwa muongozo na utaratibu utakaowezesha majadiliano kufanyika bila kuingilia uhuru wa mahakama kwa kuzingatia kanuni ya 5 (1) ya Kanuni za Kudumu za Bunge. Tatu; izingatiwe pia kuwa masuala yanayosubiri uamuzi wa mahakama ambayo yamewekewa masharti kwa mujibu wa kanuni 64 (1) (c) yanaweza kuruhusiwa kujadiliwa bungeni kwa muongozo na utaratibu utakaowezesha majadiliano kufanyika bila kuingilia uhuru wa mahakama kwa kuzingatia kanuni ya 5 (1) ya Kanuni za Kudumu za Bunge. Kwa kuzingatia sababu nilizozieleza, nimeomba kamati ya kanuni ibatilishe maamuzi yaliyofanyika na kutoa pia muongozo wa kikanuni; hivyo nimeomba Katibu wa Bunge amtaarifu Spika kwa mujibu wa kanuni ya 5 (4) na kuitisha kikao cha dharura cha kamati ya kanuni kwa mujibu wa kanuni ya 5 (5) ya kanuni za Kudumu za Bunge na kulijulisha bunge kuhusu uamuzi utakaotolewa. Wako katika kuwawakilisha wananchi, John Mnyika (Mb) Mbunge wa Jimbo la Ubungo, CHADEMA 01 Agosti, 2012

MAELEZO BINAFSI YA MHE. ZITTO ZUBERI KABWE DHIDI YA TUHUMA ZA RUSHWA HUSUSAN KUELEKEA KATIKA KUPITISHA BAJETI YA WIZARA YA NISHA

MAELEZO BINAFSI YA MHE. ZITTO ZUBERI KABWE DHIDI YA TUHUMA ZA RUSHWA HUSUSAN KUELEKEA KATIKA KUPITISHA BAJETI YA WIZARA YA NISHATI NA MADINI Ndugu Waandishi, Nalazimika kukutana nanyi kutoa maelezo juu ya tuhuma zenye shinikizo la kisiasa zinazoelekezwa kwangu binafsi kwamba hata mimi nimeshiriki katika vitendo vya rushwa, kwa nafasi yangu kama Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Mashirika ya Umma. Taarifa hizo, kama kawaida ya uzushi mwingine wowote zimesambazwa kimkakati na kwa kasi kubwa kiasi cha kuukanganya umma. Nafahamu nabeba dhamana kubwa ya uongozi, taswira yangu ya uongozi daima imeakisi njozi na matumaini ya wananchi wa Kigoma Kaskazini, wananchi wanyonge na vijana kote nchini bila kujali itikadi zao za kisiasa, jinsia zao, makabila yao na rika zao. Hivyo, nawajibika kupitia kwenu kuwatoa hofu juu ya hisia potofu zinazopandikizwa kwao na wale wasiopenda kuona baadhi yetu tukiwaunganisha na kuwasemea watanzania wasio na sauti, dhidi ya vitendo vya hujuma na vyenye dhamira ovu kwa taifa. Mkakati huo wa kuniunganisha na baadhi ya Waheshimiwa Wabunge wanaotuhumiwa kwa kupokea Rushwa unatekelezwa kwa njia zifuatazo: Kumekuwa na kauli za watendaji wa serikali ambao wamekuwa wakizieneza na hususan kutoa taswira kwamba baadhi ya kauli zangu zinatokana na ushawishi wa rushwa; Kuna taarifa ambazo zimeandikwa tena katika kurasa za mbele za baadhi ya vyombo vya habari zikidai ’’Zitto kitanzini’’ ama ’’Zitto sawa na popo nundu’’ zikiashiria kwamba na mimi ni mla rushwa; na Waandishi wa habari na jamii kwa ujumla wamefikia kuaminishwa habari hizi kiasi cha wengine kuuliza kwa nini Mhe. Zitto Kabwe hakutajwa katika orodha iliyotolewa na Mnadhimu Mkuu wa Kambi ya Upinzani. Ndugu Waandishi, Naomba kutoa ufafanuzi wa hicho kinachoelezwa kwamba nina ushiriki katika masuala ya rushwa hususan kwenye masuala yanayohusu sekta ya Nishati na Madini:- Mara baada ya bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Usambazaji wa Umeme Tanzania (TANESCO) chini ya Uenyekiti wake Meja Jenerali Mstaafu Robert Mboma kutangaza kwamba imemsimamisha kazi Mkurugenzi Mkuu wa Shirika hilo, Nd. William Mhando ili kupisha uchunguzi wa baadhi ya vitendo/mwenendo wake, Kamati ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC) ambayo mimi ni Mwenyekiti wake ilimuandikia Mhe. Spika kumuomba aridhie ili Kamati iweze kuwaita Bodi ya TANESCO, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Mahesabu ya Serikali (CAG) na pia Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA) kujiridhisha na tuhuma zote zinazotajwa zinafanyiwa uchunguzi wa kina na hatua kuchukuliwa; Kamati ya POAC ninayoiongoza ilimuomba Mhe. Spika kuwaita wahusika tajwa kwa kuwa zilikuwapo tetesi kuwa kusimamishwa kazi kwa Mkurugenzi huyo siku chache kabla ya Bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini kulikuwa na lengo la kufunika ’madudu’ makubwa zaidi kwa kulichagiza Bunge na tukio hilo dogo, mkakati ambao naona umefanikiwa sana. Isitoshe, Kamati kutaka kujiridhisha na hatua za Bodi ni sehemu ya msingi ya utekelezaji wa majukumu ya Kamati yaliyowekwa kwa mujibu wa Kanuni za Kudumu za Bunge na pia Shirika la TANESCO ni moja kati ya mashirika ambayo yanawajibika kwetu kwa hesabu zake na pia ufanisi wake kwa ujumla. Tumefanya hivyo pia katika mashirika mengine, hili la TANESCO sio tukio la kipekee; Kitendo hiki cha halali na kwa mujibu wa Kanuni kilichofanywa na Kamati yangu kimetafsiriwa kwa makusudi na baadhi ya watu kwamba ni ishara ya kuwa sisi au zaidi kwamba mimi nina maslahi binafsi na TANESCO na hususan Mkurugenzi wake Injinia Mhando, ndio maana tumetaka maelezo ya Bodi. Ukweli kwamba Kamati ya POAC tumewaita pia Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Mahesabu (CAG) na Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA) kwa jambo hilo hilo umefichwa kwa makusudi! Baada ya tukio hilo, nikiwa hapa Dodoma, mwandishi wa habari wa gazeti moja alinifuata akiniambia kuwa wamekutana na Mhe. Waziri Mhongo na Katibu Mkuu wake, Nd. Eliachim Maswi hapa hapa Bungeni na wamewaambia kuwa mimi nimepewa rushwa. Hakutaja nimepewa rushwa na nani, kiasi gani na wala kwa lengo gani! Nimejaribu kumtafuta kwa simu Mhe. Waziri Mhongo na Katibu Mkuu wake ili wanipe ufafanuzi juu ya mimi na Kamati ya POAC kuhusishwa na tuhuma hizi bila mafanikio, hali ambayo inaniondolea mashaka juu ya ushiriki wao katika kueneza au kuthibitisha uvumi huo. Najaribu sana kujizuia kutokuwa na mashaka na ushiriki wao huo ikizingatiwa uzito na taswira ya nafasi zao katika jamii, lakini wameshindwa kunidhihirishia tofauti. Sasa naomba kutoa ufafanuzi rasmi kuhusu mlolongo wa matukio hayo tajwa ambayo yanatumiwa na baadhi ya wanasiasa kuonesha kwamba eti nimehusika na vitendo vya rushwa. Binafsi sijawahi kuwa na mawasiliano ya aina yeyote na uongozi wa TANESCO kushawishiwa juu ya hatua ambazo POAC ndio imezichukua za kutaka kujiridhisha juu ya utaratibu uliotumika. Ieleweke wazi kabisa kuwa, hakuna wakati wowote, popote ambapo mimi binafsi au Kamati yetu imekataa Mkurugenzi Mkuu wa TANESCO kuchunguzwa kwa tuhuma zozote. Ambacho tumesisitiza wakati wote ni ufuatwaji wa taratibu, kanuni na sheria, hili nitalisimamia iwe masika au kiangazi; Ni kwa sababu hiyo, na kwa kujiamini kabisa nimeunga mkono suala la tuhuma za rushwa zinazotajwa zichunguzwe na Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kwa kina; Nimekwenda mbali zaidi kukiomba chama changu CHADEMA kifanye pia uchunguzi na tathmini yake kwa kina kujiridhisha na tuhuma hizo; Natumia fursa hii pia kuomba vyombo vya Dola vichunguze tuhuma hizo kwa nafasi yake ili kuweza kupata ukweli; Ninaahidi kushiriki kikamilifu iwapo nitatakiwa katika uchunguzi wowote utakaofanywa na niko tayari kuwajibika iwapo nitakutwa na hatia yeyote. Napenda niwatoe hofu wananchi wa jimbo la Kigoma Kaskazini walionituma kuja kuwawakilisha hapa Bungeni na Watanzania wote kwa ujumla kwamba:- Mimi Zitto Zuberi Kabwe sina bei, sijawahi kuwa nayo na sitarajii kuwa nayo huko mbeleni. Daima nimesimamia kidete maadili ya uongozi bora katika maisha yangu yote ya siasa, na nawaahidi sitarudi nyuma katika mapambano dhidi ya rushwa katika nchi hii pamoja na mikakati ya aina hii ya kunidhoofisha na kunivunja moyo; Nafarijika na salam mbali mbali zinazotolewa kunifariji na kusisitiza kuwa nisilegeze kamba katika mapambano haya, nimepokea ujumbe mwingi kwa simu, sms, tweeter na hata facebook na niko pamoja nanyi Watanzania wenzangu kamwe sitarudi nyuma hadi kieleweke. Naamini katika nchi yetu tunazo rasilimali za kutosha mahitaji/haja ya kila mmoja wetu lakini si ‘tamaa/ulafi’ wa baadhi ya watanzania wenzetu; Napenda kuweka rekodi sawa kwa Watanzania kwamba nimekuwa Mbunge hiki ni kipindi cha pili, Mimi ni Mwenyekiti wa Kamati ya Hesabu za Mashirika ya Umma (POAC) huu ni takriban mwaka wa saba sasa, Kamati yangu inasimamia mashirika 259 ya Umma na si TANESCO peke yake. Mchango wa Kamati hii katika Bunge na kwa ustawi wa Mashirika ya Umma ni bayana na haujawahi kutiliwa shaka. Kamati yetu imeokoa upotevu mkubwa wa mali za umma na kuokoa fedha za umma kutokana na umakini wake. Tumefanya hivyo CHC hivi karibuni, Kiwira na kwenye mashirika mengine mengi. Kote huko uadilifu na uzalendo wa Kamati hii haujawahi kuhojiwa. Inatuwia vigumu kuona kuwa tunahojiwa katika suala hili la TANESCO. Hapa pana kitendawili. Zipo hoja pandikizi za kutaka Kamati ya POAC ivunjwe na haswa zikinilenga mimi binafsi. Nafahamu kiu ya wasioitakia mema nchi yetu kuiona POAC ikivunjwa au sura zikibadilishwa kwa kuwa Kamati hii imekuwa mwiba kwa mikakati yao ya kifisadi. Kwa maoni yangu, Kamati ya POAC isihusishwe na tuhuma hizi kwa vyovyote vile. Niko tayari nihukumiwe mimi kama mimi na sio kuhusisha wajumbe wengine ambao hawatajwi mahala popote katika tuhuma hizi mbaya sana katika historia ya Bunge letu. Nitakuwa tayari kunusuru Kamati ya POAC na maslahi ya taifa letu kwa kujiuzulu Uenyekiti iwapo itathibitika pasipo shaka kuwa nimehongwa. Kamati ya POAC ni muhimu zaidi kuliko mimi. Nafahamu pia kuwa kuna wanasiasa hasa wa Upinzani ambao wanautaka sana Uenyekiti wa POAC na wanafanya kila njia kutaka kuidhoofisha. Lakini hawajui kuwa anaepanga wajumbe wa Kamati ni Spika wa Bunge. Msishangae pia kuja baadae kubaini kwamba baadhi ya wanasiasa wenye midomo mikubwa ya kutuhumu wenzao wao ndio vinara wa kupokea rushwa. Ni lazima tufike mahali kama viongozi kwamba utaratibu unapokiukwa na yeyote yule, au uongo unapotolewa hadharani tuseme bila kuogopa. Hili ndio jukumu letu kama wabunge na viongozi. Kusimamia ufuatiliaji wa utaratibu ni jukumu letu kama Kamati ya POAC na ndio sababu ya msingi ya kuanzishwa kwa mamlaka kama CAG na PPRA. Haiwezekani, tuwe na set ya kanuni kwa kundi fulani na nyingine kwa makundi mengine, au kuhukumu ufuataji wa taratibu kwa kuangalia sura ya mtu usoni Mwisho Kumejengeka tabia hivi sasa ya kuwamaliza wanasiasa wenye kudai uwajibikaji na uzalendo. Kumeanzishwa kiwanda kwenye medani ya siasa cha kuzalisha majungu na fitna zenye lengo la kuwachonganisha wanasiasa wa aina hiyo na wananchi kwa kutumia vyombo vya habari na nguvu ya fedha. Naamini mbinu hizi chafu, kama nyingine nyingi zilizojaribiwa kwangu huko nyuma nazo zitashindwa. Naamini katika kweli na kweli daima huniweka huru. Naamini kuwa mwale mdogo wa mwanga wa mshumaa hufukuza kiza. Kwa imani hiyo, sitasalimu amri mbele ya dhamira zao ovu hata nitakapobaki peke yangu katika mapambano hayo ya kulinda na kutetea rasilimali za taifa zinufaishe watanzania wote. Daima nitaongozwa na busara ya Hayati Shabaan Robert isemayo, ‘Msema kweli huchukiwa na marafiki zake, nitakapofikwa na ajali hiyo, sitaona wivu juu ya wale wawezao kudumu na marafiki zao siku zote, siwezi kuikana kweli kwa kuchelea upweke wa kitambo, nikajitenga na furaha ya kweli itakayotokea pale uwongo utakapojitenga”. Ahsanteni sana.