Friday, August 31, 2012

Supu

Jamaa mmoja aliingia kwa Hoteli, akaagiza supu. muhudumu akampletea supu huku ametumbukiza kidole chake cha mkono.Yule mteja akakasirika na kumkaripia mhudumu:

MTEJA:Kwanini unatumbukiliza kidole chako kwenye supu yangu?

MHUDUMU:Niliambiwa na Daktari kidole changu kisipate baridi, kinahitaji joto.

MTEJA:Fck u, kwanini usikiweke hicho kidole kwenye mk**ndu wako.

MHUDUMU:Nilishakichomeka huko Kabla sijakiweka kwenye supu .

No comments:

Post a Comment